Ndidi ana umri wa miaka 23, na bado yuko fiti hivyo ni hazina kwa timu yake ya Taifa Nigeria "Super Eagles" na klabu yake pia ni mchezaji muhimu kikosini.
Hiki ni kikosi kilichotisha sana hata ukikiaangalia tu, tutajie majina yao katika picha hii na tuambie kitu gani kiliwafanya waonekane 'nyau' katika mechi za klabu Bingwa msimu huo