Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Siondoki Tanzania mpaka YANGA wanilipe pesa zangu -ZAHERA

  Aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Yanga , Mwinyi Zahera amekuwa akionekana sana hapa Tanzania kwa muda mrefu sana na kuzua maswali kwanini bado yupo Tanzania . Kocha huyo ambaye watu wengi walitegemea muda huu angekuwa na timu ambayo angekuwa anaifundisha Lakini amekuwa akionekana sana hapa nchini. Akizungumza na kituo...
Blog

Yanga walikosea sana kumuacha Balinya-MWINYI ZAHERA

  Jana mtandao wa kandanda.co.tz ulikuwa na Mwinyi Zahera maeneo ya mlimani city kwa ajili ya mahojiano maalumu. Kwenye mahojiano hayo kocha huyo wa zamani wa Yanga aliulizwa maswali mengi na mtandao huu , Lakini moja ya swali ambalo aliulizwa na kuachwa kwa wachezaji aliowasajili . Moja ya wachezaji ambao...
1 18 19 20 21 22 85
Page 20 of 85