
Shirikisho LA mpira wa miguu la nchini Uganda (FUFA), Limetoa msaada wa tani 12.5 za mchele kwa wachezaji na maafisa wengine wa soka ambao hawawezi kupata chakula katika kipindi hiki cha ugonjwa hatari wa Corona.
Msaada huo unaenda kwenye kamati ya kupambana na Corona lakini pia utakuwa msaada kwa wachezaji zaidi ya 2000 katika ligi zao za ndani.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Tanzania kufuzu Afcon ni kama filamu kwetu!
Niacheni nionekane muoga tu lakini akili yangu inampitisha moja kwa moja Algeria kuchukua nafasi moja wapo kati ya hizo mbili.