7-8-2019- Chakula cha usiku cha pamoja (Klabu ya Simba na Klabu ya Power Dynamos) na kisha kuwaaga wageni na kuwashukuru wadhamini wote waliofanikisha tukio la SportPesa Simba Week 2019.
Siku hizi Taifa Stars ikicheza huwa nnawafikiria jamaa zangu wale wawili, Pierre Liquid na Bongo Zozo na fujo zao zisizoumiza! Naamini hawa huwa wanaumia sana kuliko sisi wote.
Yanga imeweka kambi Morogoro, ikijiandaa na mechi za Ligi kuu na Mabingwa wa Afrika, pamoja na maandalizi ya Wiki ya Mwananchi ambalo linalenga kuitaambulisha timu kwa wananchi.