
Tawi la yanga kitunda likiwa katika wiki ya Mwananchi leo limekamilisha shuguli za kijamii kwa kufanya usafi Hospitali ya kitunda,Polisi Kitunda,Ofisi ya serikali ya Mtaa Kitunda na Kituo cha watoto Yatima Kipunguni ambapo walikabidhi vyakula,Ndoo za maji,Mifagio ,sabuni na Pesa taslimu.
Matukio haya yote yanayoendelea nchini kwa mashabiki wa Yanga ni kwaajili ya kuelekea katika kilele cha wiki ya mwananchi ambayo lengo lake litakuwa kuwatambulisha wachezaji wake na mambo mengine kwa wanachama na mashabiki wa timu hiyo.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,