Ligi Kuu Afrika Kusini utaratibu wa kushuka daraja huwa ni timu inayoburuza mkia ndio hushuka moja kwa moja mpaka daraja la kwanza na anaefwatia atakaemaliza Ligi katika nafasi ya 15 hucheza "Playoff".
zLigi Kuu nchini Uingereza imeendelea leo huku mchuano mkali wa kuwania ubingwa na "Top four" ukishika kasi hatua za lala salama, huku wakubwa wakiangukia pua. Katika mchezo mchezo wa mapema ulishuhudia Everton wakiigaragaza Man United ya Ole Guna bila huruma. Everton wakiwa Goodson Park wamefanikiwa kuifunga Manchester United goli nne...
Kwa maana hiyo basi klabu ya Simba imevizidi vilabu vikubwa Africa Mashariki na kati kama Gor Mahia na Tusker (Kenya), APR na Rayon Sports (Rwanda), SC Villa na URA (Uganda) Yanga sc na Azam fc vya hapa nyumbani.