Leo hii tuliyoshinda majumbani kwetu bila ya kwenda makazini kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi, tuiingie katika tovuti hii kuona taarifa mbalimbali za kimichezo na makala za kutosha.
Mshambuliaji wa kimataifa raia wa Czech Josef Sural amefariki dunia kufuatia ajali ya gari lililokuwa limewabeba wachezaji wa timu ya soka ya Aytemiz Alanyaspor kupata ajali wakati wakirudi nyumbani baada ya kumaliza mechi. Sural ambaye ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Czech amefariki wakati akipatiwa matibu hospitalini wakati ambapo...