Kijana mmoja nchini Uingereza amejisalimisha mwenyewe Polisi mjini Blackpool baada ya kuandika maneno ya kibaguzi kwenye akaunti ya Twitter kuelekea kwa mlinzi wa Wigan Nathan Byrne. Kijana huyo amejisalimisha wakati ambapo Polisi wakiwa katika uchunguzi kufuatia klabu ya Wigan kupeleka malalamiko baada ya mashabiki kadhaa kuandika maneno ya Kibaguzi kwa...
Agizo la makamu wa Rais wa Dubai, Sheik Mohammed ni vyema kama litakuwa agizo kwa dunia nzima ikiwemo Tanzania. Unaweza ukadhani ni kitu kidogo lakini madhara yake ni