Blog

Mkusanyiko wa Habari na Matukio tofauti ulimwenguni kote.

Blog

Waziri Mkuu ashiriki zoezi la ujenzi wa uwanja mpya Lindi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki kazi za ujenzi wa uwanja mpya wa michezo wilayani Ruangwa kwa kubeba zege na matofali pamoja na wananchi. Waziri Mkuu ambaye pia ni mbunge wa Ruangwa, ameshiriki zoezi hilo leo (Ijumaa, Mei 25, 2018) kwenye uwanja huo unaojengwa katika kijiji cha Dodoma, kata ya Nachingwea,...
Blog

Ronaldinho kuoa wanawake wawili kwa mpigo katika jumba lake mjini Rio

Mwanakandanda mashuhuri Ronaldo de Assís Moreira maarufu kama Ronaldinho anatarajia kuoa wanawake wawili kwa pamoja katika jumba lake la kifahari huko Brazil kwa mujibu wa mirror. Mchezaji huyo wa zamani wa Barcelona na AC Milan ameripotiwa kuwa anafunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Priscilla Coelho pamoja na mpenzi...
Blog

Iniesta kumfuata Podolski

Nyota wa Uhispania Andres Iniesta anatarajiwa kutangaza ndani ya siku mbili zijazo kujiunga na klabu ya Vissel Kobe ya nchini Japani baada ya kutangaza kustaafu katika klabu yake ya Barcelona. Iniesta ambaye angeweza kukaa Barcelona licha ya umri wake kusogeza, anaweza kufuata njia ya mchezaji mwenzake Xavi ambaye naye alijiunga...
Blog

Ibrahimovic alimwa umeme kwa kumzaba kibao mwenzake

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic 36, alitolewa nje kwa kadi nyekundu katika dakika ya 41 kwenye mchezo wa ligi nchini Marekani baada ya kamera kumnasa akimzaba kibao beki wa timu ya Montreal Impact, Michael Petrasso. Zlatan ambaye anaichezea timu ya LA Galaxy alitolewa nje baada ya kuonekana kwenye video akimzaba beki Petrasso...
Blog

Al Ahly wameweka rekodi muhimu ligi kuu nchini Misri

Timu ya soka ya Al Ahly imejiwekea rekodi ya kipekee baada ya kuifunga Al Masry kwa mabao 2-0 katika mchezo wa mwisho wa ligi hapo Jana. Mabingwa hao wa kihistoria wa Misri wamefikisha alama 88 ndani ya michezo 34 ya ligi wakiipiku rekodi ya mahasimu wao Zamalek ambao waliwahi kufikisha...
Blog

Ngorongoro Heroes yatupwa nje

Timu ya taifa ya vijana ya chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes, imetupwa nje ya mbio za kuwania kufudhu kwa Fainali za U20, Afrika kufuatia kufungwa mabao 4-1 na wenyeji Mali kunako uwanja wa Omnisports Modibo Keita mjini Bamako Matokeo hayo yanaashiria kuwa, Tanzania imetolewa katika kinyang'anyiro cha...
Blog

Kabwili kuanza dhidi ya Mali usiku huu.

Mlinda Mlango Ramadhan Kabwili amepangwa kuanza katika kikosi cha kwanza cha Timu ya Taifa ya Tanzania kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ kinachoshuka usiku huu kucheza na timu ya Vijana ya Mali. Kabwili ambaye hakucheza katika mchezo wa kwanza Ngorongoro wakikubali kichapo cha mabao 2-1 jijini...
Blog

Lwandamina alijijenga yeye na kuiua Yanga.

George Lwandamina ni moja ya jina kubwa barani Afrika kwa sasa, huwezi kukwepa ukweli kuwa George Lwandamina aliwahi kufanya vizuri kwenye michuano ya vilabu barani Afrika akiwa na Zesco United ya Zambia. Inawezekana kabisa hii ilikuwa moja ya sababu ambayo iliwashawishi Yanga wamchukue George Lwandamina ili wafikie mafanikio makubwa kwenye...
Blog

Yanga yagonga mwamba kwa Salamba

Uongozi wa klabu ya Lipuli FC, ya Iringa, umewajibu viongozi wa Yanga kuhusiana na barua yao yenye ombi la kupatiwa mshambuliaji Adam Salamba ili akaisaidie timu yao katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika Ikumbukwe kuwa Yanga SC, walituma barua kwa uongozi wa Lipuli wakiomba wapatiwe mshambuliaji Adam Salamba, ili...
Blog

Yanga sc yavuna alama moja nyumbani

Yanga SC, imepata alama ya kwanza katika hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho Afrika kufuatia sare tasa ya bila kufungana na Rayon sports ya Rwanda, katika mchezo wa kundi D ulipigwa kunako uwanja wa taifa jijini Dar es salaam Sare hiyo, inaifanya Yanga kuendelea kuburuza mkia kunako kundi hilo...
1 78 79 80 81 82 85
Page 80 of 85