
Kocha wa Simba sc Masoud Djouma, amezungumza na mchezaji wake Emmanuel Arnold Okwi na huenda leo asubuhi akaanza mazoezi na wenzake
Kiungo mshambuliaji huyo ameungana na kambi ya Simba iliyopo Morogoro, wakijiandaa na mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Singida United
Okwi aliyewasili nchini leo akitokea kwao Uganda na kujiunga na wachezaji wenzake huko Morogoro maarufu kama mji kasoro bahari
Mapema wiki kadhaa zilizopita kocha huyo alikaliliwa kutofurahishwa na uchelewaji wa mchezaji huyo, lakini leo wamezunguza vizuri na kesho huenda mchezaji huyo akaanza mazoezi na wenzake huko Morogoro
Unaweza soma hizi pia..
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
Alli Kamwe: Yanga imeifunga Yanga B!
Bao la 2 la Yanga ni OFFSIDE. Kama Shuti la Mauya lingekwenda moja kwa moja, hakuna tatizo.
Kombe la FA: Ni fainali ndani ya fainali.
Mchezo wa nusu fainali ni utakua na hadhi, ukubwa na umaarufu kuliko fainali yenyewe kutokana na aina ya wapinzani watakaokutana.
Vigogo wa Afrika wanalakujifunza kwa Simba hii!
Simba licha ya kutolewa katika robo fainali ya klabu bingwa Afrika mara mbili na Shirikisho mara moja lakini bado hakupoteza nyumbani