
Unaweza soma hizi pia..
Kipa Yanga atimkia Kenya.
Kipa huyo mwenye uzoeufu mkubwa alioupata akiitumikia Bandari ya Kenya lakini pia amepita katika timu za vijana za Taifa za Kenya.
Jinsi wageni wanavyowakimbiza wazawa Ligi Kuu.
Achana na ubabe huo wa vigogo wa nchi katika msimamo wa Ligi, upande wa pili kwenye takwimu za mchezaji mmoja mmoja wachezaji wakigeni wameonekana kufanya vizuri na kuwakimbiza wazawa.
Bodi ya Ligi wamaliza mjadala wa Kapombe na Zimbwe kuitwa Stars
Walinzi wengine wa pembeni walioitwa katika kikosi cha Stars Kibwana Shomary [Yanga], Datius Peter [Kagera Sugar] na Yahya Mbegu wa Ihefu wote hawapo katika orodha hiyo.
Simba na Yanga zakimbiana kombe la FA
Mshindi wa michuano hiyo ndio ataiwakilisha nchi katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Hivyo ni wazi vilabu vya Azam Fc na Singida Big Stars vitaendelea kukabana koo ili kupata ushindi na kupata nafasi ya kuwakilisha nchi Kimataifa