Kwanini Chama hapigi mashuti?
NIMEMFUATILIA kiungo mshambulizi wa Simba SC, Mzambia, Claytous Chama katika michezo kadhaa na kugundua mchezaji huyo wa timu ya Taifa ya Zambia ni muoga wa kupiga mashuti kutokana na kutokuwa fiti. Chama alifunga goli lake la kwanza klabuni Simba siku ya jana Jumapili wakati Simba ilipoichapa Stand United 3-0 katika...