Akilimali kuwania nafasi Yanga SC
Yanga SC, ipo katika harakati za kufanya uchaguzi wa kujaza nafasi Mwenyekiti wa klabu hiyo, kuelekea huko tayari Katibu wa baraza la Wazee wa klabu hiyo, Ibrahim Akilimali, ameonesha nia ya kuitaka nafasi hiyo Akilimali ameonesha nia ya kuwania nafasi hiyo, iliyokosa mtu kwa muda mrefu tangu kujiuzuru kwa aliyekuwa...