Sambaza....

Baada ya kuondolewa katika klabu ya KMC, Humoud Abdulkarim Ali, , kwa sababu nyingi ikiwemo kusumbua wake za wachezaji wenzake, inasemekana amepata timu.

Tetesi ambazo tumepata zinasema Humuod atajiunfa na klabu ya Coastal Union kutoka Tanga.

Humud alitolea maelezo tuhuma alizopew na KMC na kuzikana zote.

Sambaza....