
Beki wa klabu ya Arsenal, Laurent Koscielny, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi 6 kufuatia kuumia mguu
Beki huyo, alipata maumivu katika mguu wake wa kulia katika mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Atretico Madrid uliopigwa nchini Hispania Alhamisi iliyopita ambapo Arsenal ilifungwa bao 1-0.
Koscielny, ameumia ikiwa imesalia majuma kadhaa kabla ya kufanyika kwa michuano ya kombe la Dunia, nchini Russia
Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema kuwa mchezaji huyo atakosa michuano ya kombe la Dunia inayoraji kuanza mwezi ujao nchini Russia
Unaweza soma hizi pia..
Mechi Iliyoamua mshindi hatua ya Makundi Kombe la Dunia
Hii ilikuwa ni Kombe la Dunia mwaka 1950, mechi ya Uruguay dhidi ya Brazil. Mechi ambayo iliamua mshindi hatua ya makundi.
Brazil na maajabu ya herufi “R”
Ukiangalia mafanikio ya Brazil kwenye kikosi chao cha mwaka 2002 kulikuwa na wachezaji 8 ambao majina yao yanaanza na R hivyo huwa tunaita kizazi cha "R".
Dani Ceballos nyongeza ya Ozil kwa Arsenal kutoka Madrid.
Tupilia mbali mbwembwe za mashabiki wa Arsenal sijui Lacanyavu,Auba,Xhaka boom, na wengine, hapo 2013 dunia ilizizima baada ya Mesut Ozil kutua rasmi kwa washika mtutu wa pale London.
Jamie Vardy avunja rekodi ya Drogba!
Ligi kuu ya England imemalizika leo kwa kushuhudia Liverpool kubeba imebeba taji lake la kwanza baada ya miaka 30 ,...