





BAO la dakika ya 65′ la mchezo lililofungwa na mshambulizi raia wa Zambia, Obrey Chirwa limeipata taji la kwanza la kombe la FA klabu ya Azam FC baada ya kuilaza Lipuli FC goli 1-0 katika mchezo wa fainali Ilulu Stadium, Lindi jioni hii.
![]() ![]() 1 - 0Ilulu N/A Azam FC vs Lipuli FC |
Azam FC
Razak Abalora, Nickolas Wadada, Daniel Amoah, Yakubu Mohammed, Agrey Moris (c), Salmin Hoza, Mudathir Yahya, Salum Abubakar, Obrey Chirwa, Donald Ngoma, Bruce Kangwa
Benchi: Mwadini, Mwasapili, Mwantika, Domayo, Peter, Lyanga, Kimwaga
Lipuli FC
Mohamed Yusuph, William Gallas, Paul Ngalema, Haruna Shamte, Novarty Lufunga, Fred Tangalu, Mirajii Athuman, Jimmy Shoji, Paul Nonga, D Saliboko, Zawadi Mauya.
Benchi: Mburulo, Sonso, Job, Chibwabwa, Issah, Karihe, Mganga
Unaweza soma hizi pia..
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
Alli Kamwe: Kumbe bila moto wanateseka!
: Asante Moalin. Asante Pablo Franco, Mechi ilichezwa sana kwenye mbinu kisha ikamalizikia kwenye Ufundi wa wachezaji.
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake