ASFC

Azam Fc ni mabingwa wa fainali ya shirikisho

Sambaza....

BAO la dakika ya 65′ la mchezo lililofungwa na mshambulizi raia wa Zambia, Obrey Chirwa limeipata taji la kwanza la kombe la FA klabu ya Azam FC baada ya kuilaza Lipuli FC goli 1-0 katika mchezo wa fainali Ilulu Stadium, Lindi jioni hii.



Azam FC
Razak Abalora, Nickolas Wadada, Daniel Amoah, Yakubu Mohammed, Agrey Moris (c), Salmin Hoza, Mudathir Yahya, Salum Abubakar, Obrey Chirwa, Donald Ngoma, Bruce Kangwa
Benchi: Mwadini, Mwasapili, Mwantika, Domayo, Peter, Lyanga, Kimwaga


Lipuli FC
Mohamed Yusuph, William Gallas, Paul Ngalema, Haruna Shamte, Novarty Lufunga, Fred Tangalu, Mirajii Athuman, Jimmy Shoji, Paul Nonga, D Saliboko, Zawadi Mauya.
Benchi: Mburulo, Sonso, Job, Chibwabwa, Issah, Karihe, Mganga

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x