Miraj Athuman na rekodi ya kutisha!
Baada ya Simba kuifunga mabao manne kwa moja Yanga na kukata tiketi ya kwenda fainali ya kombe la FA imekua ni habati na historia kwa upande wa wachezaji Shevi na Haruna Shamte.
Sijashangazwa na Chirwa, nashangaa Miraj kumbadili Okwi Simba SC
Miraj huenda akatambulishwa hivi karibuni, jezi yake namba 7 aliyokuwa akiivaa Lipuli Fc anakuja nayo Simba Sc
Miraji avunja kanuni ya saa saba kamili?
Winga huyo amewahi kuchezea timu ya vijana ya Simba sc hapo kabla, na amekuwa nguzo muhimu katika kampeni ya Ligi Kuu msimu uliopita kwa upande wa Lipuli Fc.
Azam Fc ni mabingwa wa fainali ya shirikisho
Azam Fc itawakilisha Tanzania katika michuano ya Ligi ya Shirikisho Afrika
Ni heshima kubwa kuitwa na Amunike – Miraj
Miraj Athuman, jezi namba 7 miongoni mwa namba maarufu duniani, ndiyo anayoivaa akiwa katika klabu yake ya Lipuli Fc.
Ushindi raha, kuifunga Yanga raha maradufu!
Magoli ya Lipuli yalifungwa na Paul Nonga na mshambuliaji aliyeitwa kwa mara kwanza katika kikosi cha Stars, Miraj Athumani.
Singida United kupitisha ‘fyekeo’ dirisha dogo la usajili.
Klabu ya soka ya Singida United kutoka mjini Singida imeweka wazi mipango yake katika dirisha dogo la usajili linalotarajiwa kufunguliwa...