
Timu ya soka ya Kagera Sugar imeonekana kuwa mmbabe wa kudumu wa klabu ya soka ya Simba sc baada ya leo tena kuwadondoshea kichapo katika uwanja wa Uhuru.
Kagera sugar imefanikiwa kuondoka na ushindi wa bao moja kwa sifuri katika dimba la Uhuru huku goli lao likitokana na kujifunga kwa nahodha Mohamed Hussein “Tshabalala” katika dakika ya 41.
Kagera Sugar imeendeleza historia nzuri mbele ya Simba baada ya kufanikiwa kuifunga Simba nje ndani msimu huu huku pia ikiwa mara ya tatu mfululizo.
Katika mchezo wa kwanza Kagera Sugar waliifunga Simba mbili kwa moja huku pia msimu uliopita wakiwafunga bao moja kwa sifuri mbele ya Rais John Magufuli
Unaweza soma hizi pia..
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.