Kwa ushindi huo sasa Yanga wanafikisha alama 68 wakiwa kileleni na kuendelea kuwaacha Simba wanaoshika nafasi ya pili kwa tofauti ya alama 8 katika msimamo wa Ligi.
Ahmad ameongeza kuwa katika mchezo wa kesho kama Timu inahitaji matokeo mazuri kutokana na kwamba KMC FC hapo kwenye nafasi nzuri na hivyo kuhitaji zaidi ushindi
Kutokana na akili kubwa ya mpira aliyokuwa nayo ndio sababu kubwa inayomfanya aweze kucheza maeneo tofauti uwanjani na ndicho kilichoivutia zaidi Simba.