Fuatilia dondoo mubashara hapa zikiletwa kwenu na Thomas Mselemu na Martin Kiyumbi moja kwa moja kutoka uwanja wa Taifa. Jiunge na mjadala na kuipongeza Simba SC kwa kutwaa ubingwa wa Ligi kuu.

Unaweza soma hizi pia..
Milioni 500 vs Milioni 300, mshindi ushamuona.
Kariakoo Derby kwa mara nyingine tena inawakutanisha Yanga Sc dhidi ya watani wao Simba Sc.
Yanga Sudan, Simba Kusini.
Michezo yote hiyo ya Ligi ya Mabingwa itachezwa kati ya September 9 na 11 na micjezo ya marudiani itapigwa kati ya September 16 na 18 mwaka huu.
Uwanja wa Sokoine kukarabatiwa
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Parimatch wamethibitisha hilo leo baada ya kuingia mkataba wa udhamini wa mwaka mmoja na Klabu ya Mbeya City.
Parimatch waingia mkataba na Mbeya City.
Pia msemaji wa kampuni ya Parimatch amesema wapo katika mazungumzo na vilabu vya Championship ili kutoa udhamini zaidi lakini pia wapo katika mazungumzo na Bodi ya Ligi.