
Klabu ya Polisi Tanzania yenye maskani yake jijini Moshi-Kilimanjaro imeendelea kujiimarisha kupitia dirisha dogo la usajili kwa kumungeza mlinda mlango katika kikosi chao.
Maafande hao wamemsajili mlinda mlango wa zamani wa klabu ya Simba na Singida Utd Manyika Jnr kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Ligi Kuu nchini Kenya.

Taarifa zinathibitisha Manyika Jnr amejiunga na Polisi Tanzania kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea katika klabu ya KCB ya nchini Kenya.
Manyika Jnr alietokea Simba B kabla ya kupandishwa kikosi cha wakubwa pia amepita katika klabu ya Singida United kabla ya kutimkia Kenya aliposajili misimu miwili iliyopita akiwa na Jamal Mwambeleko!
Unaweza soma hizi pia..
Simba yatangaza rasmi kuachana na Morrison
Kumekuwepo na tetesi zinazomuhusisha Benard Morrison kurejea klabu yake ya zamani Yanga ambayo aliitumikia kabla ya kujiunga na Simba.
Simba: Tunawaza kumsajili Simon Msuva!
Kwasasa Simon Msuva yupo nchini akiwa hana klabu anayoichezea baada ya kushindwa kufikia muafaka na waajiri wake Wydad Casablanca
Kibwana: Inawauma lakini nipo Yanga!
Uwepo wa Kibwana Shomary tena kwa miaka miwili Yanga kunahatarisha nafasi za walinzi wa kushoto wa Yanga pia kina Yassin Mustapha na Bryson Raphael.
Nyota watakaompisha Ten Hag United wakiongozwa na Pogba
Pengine moja ya majina ya kushangaza zaidi ya wababe hao wa Uingereza wanasemekana kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo ni mhitimu wa akademi