Polisi Tanzania watakua wenyeji wa Simba katika mchezo utakaopigwa November 27 mwaka huu katika Dimba la Ushirika Moshi katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC
Rashid Juma ni zao la Simba B ambapo alifanya vizuri akiwa chini ya Mwalim Mussa Hassan Mgosi na kupelekea kupandishwa kikosi cha wakubwa kilichokua chini ya Patrick Auseems
Walianza wao kufunga goli kipindi cha kwanza , goli ambalo liliwapa nguvu kubwa sana ya kutawala mchezo wa jana kwa dakika nyingi , Lakini dakika 5 za mwishoni zilileta maumivu na machozi.