Tags :Azam FCMbeya cityTPL

Singano akishangilia moja ya bao
Unaweza soma hizi pia..
Simba na Yanga kinawaka leo Uhuru.
Mchezo huo wa watani wa jadi unatarajiwa kuwa wa kuvutia kutokana na ushindani uliopo baina yao na matokeo ya sare katika raundi ya kwanza.
Kuelekea Derby: Makocha wakataa kupoteza mchezo huo.
Simba Queeens wanakwenda kukutana na Yanga Princess wakiwa kileleni na alama 26 sawa na Fountain Gate lakini wao wakiwazidi magoli. Yanga Princess wao wapo nafasi ya nne wakiwa na alama zao 21.
Singida na Azam kurudi uwanjani April kutafuta tiketi ya Kimataifa
Tayari ratiba ya michuano hiyo imeshatoka na sasa michezo ya robo fainali itapigwa kati ya Aprili mbili mpaka Aprili nane mwaka huu.
Jinsi wageni wanavyowakimbiza wazawa Ligi Kuu.
Achana na ubabe huo wa vigogo wa nchi katika msimamo wa Ligi, upande wa pili kwenye takwimu za mchezaji mmoja mmoja wachezaji wakigeni wameonekana kufanya vizuri na kuwakimbiza wazawa.