
Kikosi cha Simba kimekwenda mkoani Mtwara kikiwa na wachezaji 20 tu huku wengine wakibaki jijini Dar na kocha msaidizi Masoud Djuma.
Kikosi hicho cha Simba kilichotua Mtwara na ndege majira ya mchana kilipokelewa kwa shangwe na mbwembwe nyingi na mashabiki wa timu hiyo.
Wachezaji wa Simba waliosafiri kuelekea Mtwara leo ni:
1. Aishi Manula
2. Deo Munishi
3. Nicholas Gyan
4. Shomari Kapombe
5. Paul Bukaba
6. Pascal Wawa
7. Erasto Nyoni
8. Yusuph Mlipili
9. Jonas Mkude
10. Mohammed Ibrahim
11. Adam Salamba
12. Emmanuel Okwi
13. John Boko
14. Meddie Kagere
15. Clatous Chama
16. Mohammed Hussein
17. Mohammed Rashid
18. Said Ndemla
19. Hassan Dilunga
20. Shiza Kichuya
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.