
Porto's Brazilian defender Eder Militao celebrates after scoring a goal during the UEFA Champions League group D football match between Porto and Schalke 04 at the Dragao stadium in Porto on November 28, 2018. (Photo by MIGUEL RIOPA / AFP) (Photo credit should read MIGUEL RIOPA/AFP/Getty Images)
Baada ya kurudi kwa mara ya pili Real Madrid baada ya kuiacha kwa miezi 10 kocha Zinedine Zidane ameanza kutema cheche baada ya kumsajili beki wa kati raia wa Brazil.
Eder Millitao Beki wa kati kutoka Porto fc ya Ureno ndio usajili wa kwanza kabisa wa Zidane baada ya kurejea Santiago Bernabeu.
Eder Millitao amesaini kandarasi ya miaka mitano itakayomuweka jijini Madrid mpaka mwaka 2025.
Unaweza soma hizi pia..
Simba yatangaza rasmi kuachana na Morrison
Kumekuwepo na tetesi zinazomuhusisha Benard Morrison kurejea klabu yake ya zamani Yanga ambayo aliitumikia kabla ya kujiunga na Simba.
Simba: Tunawaza kumsajili Simon Msuva!
Kwasasa Simon Msuva yupo nchini akiwa hana klabu anayoichezea baada ya kushindwa kufikia muafaka na waajiri wake Wydad Casablanca
Kibwana: Inawauma lakini nipo Yanga!
Uwepo wa Kibwana Shomary tena kwa miaka miwili Yanga kunahatarisha nafasi za walinzi wa kushoto wa Yanga pia kina Yassin Mustapha na Bryson Raphael.
Mzimu wa Bernabeu unavyowatafuna wapinzani wa Madrid!
Hapa ndiyo machinjioni Santiago Bernabeu Yeste hatoki mtu, uwanja pekee unakupa uhakika wa goli hivyo ni juhudi zako tu kulipachika.