Porto's Brazilian defender Eder Militao celebrates after scoring a goal during the UEFA Champions League group D football match between Porto and Schalke 04 at the Dragao stadium in Porto on November 28, 2018. (Photo by MIGUEL RIOPA / AFP) (Photo credit should read MIGUEL RIOPA/AFP/Getty Images)
Uhamisho

Zizou aanza usajili, ashusha Mbrazil.

Sambaza....

Baada ya kurudi kwa mara ya pili Real Madrid baada ya kuiacha kwa miezi 10 kocha Zinedine Zidane ameanza kutema cheche baada ya kumsajili beki wa kati raia wa Brazil.

Eder Millitao Beki wa kati kutoka Porto fc ya Ureno ndio usajili wa kwanza kabisa wa Zidane baada ya kurejea Santiago Bernabeu.
Eder Millitao amesaini kandarasi ya miaka mitano itakayomuweka jijini Madrid mpaka mwaka 2025.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x