Mzimu wa Bernabeu unavyowatafuna wapinzani wa Madrid!
Hapa ndiyo machinjioni Santiago Bernabeu Yeste hatoki mtu, uwanja pekee unakupa uhakika wa goli hivyo ni juhudi zako tu kulipachika.
Asikuambie mtu vita hivi vina raha yake.
Na matumaini macho yetu hayata boreka kwa mchezo huu. Itakua ni "Classic Game".
Chelsea na ugeni wakati wa kwenda na kurudi tena.
Tuchel na vijana wake watalazimika kujilaumu sana sana kutokubadilisha mbinu mara baada ya mabadiliko ya Camavinga ambaye aliongeza kitu kikubwa uwanjani.
Viatu vya Ronaldo vitamtosha Mbappe?
Ni mnafiki pekee asiyependa maendeleo ya binadamu mwenzie! Kylian Mbappe ndio mwanza ana miaka 21.
Sergio Ramos! Na ubabe wa ng’ombe dume!
Basi hio ndio ilikua ndoto ya maisha kwa Sergio Ramos, huku mama na baba yake wakimsihi kuacha kuupenda huo mchezo kwani ni hatari sana
Ronaldo anarudi zake Madrid!
Ripoti nchini Italia zimesema kwamba Juventus itakua tayari kumuacha Ronaldo ajiunge tena na Madrid ili kujaribu kupunguza mzigo wa kifedha kwenye klabu unaosababishwa na janga la virusi
Kroose: Ningekua mchezaji wa Man United!
Mpaka sasa Kroose anaitumikia Real Madrid chini ya Zinedine Zidane huku akiwa mchezaji alieshinda vikombe vyote kwa ngazi ya klabu na timu ya Taifa.
Hazard aanza rasmi dhidi ya Levante.
“nina furaha kwa sababu naweza kucheza na hata kupata ushindi.. ukitoka majeruhi ni vigumu sana kuwa na kasi yako iliyoizoeleka lakini kikubwa kwangu ni ushindi
Uhispania wafanya mabadiliko madogo kwenye michuano yao.
Shirikisho la kandanda nchini Uhispania (RFEF) jana Jumatatu limefanya mabadiliko madogo ya kombe la Mfalme (Copa del Rey) na lile...
kichapo cha 10 msimu huu, Zidane awabebesha ‘zigo la misumari’ wachezaji wake.
Kocha mkuu wa timu ya soka ya Real Madrid Zinedine Zidane amewashukia wachezaji wake na kuwalaumu kwa kichapo walichokipata usiku...