Zimebaki asilimia 10 tu kwa Libya kuipiku Tanzania nafasi 4 za uwakilishi michuano ya vilabu CAF.Matokeo ya jana Kati ya Ac Djoliba toka Mali dhidi ya Al Nasr Bhengazi toka Libya kwa Ac Djoliba kukubali kichapo Nyumbani 0-1 yameiweka Al Nasr kwenye nafasi Bora kufuzu hatua ya robo fainali michuano...
Ligi kuu Tanzania bara inazidi kuendelea kwa kasi huku Simba akionekana ana njaa ya kulichukua tena kombe hili. Pamoja na njaa iliyopo kwa Simba , Yanga msimu huu imejitahidi kujiimarisha vya kutosha ili kupambana na Simba. Yikpe Katika harakati za kujiimarisha zaidi Yanga imejikuta ikiweka rekodi kubwa. Yanga imeweka rekodi...
Kuna wakati Yanga walimwihitaji sana Emmanuel Okwi. Uzuri ni kwamba wakati huo ndiyo ulikuwa wakati ambao Yanga wangefanya chochote bila klabu yoyote kuizuia Yanga.