Kakolanya atakua katika majuto makubwa kwake na familia yake kwa kuigomea Yanga akishinikiza apewe stahiki zake lakini akikosa nafasi adimu na kuandika historia.
Ndiyo maana mwisho wa siku wachezaji wetu walipata nguvu ya kupigana kwa sababu ya mashabiki ambao walikuwa jukwaani, na Uganda walikuwa wameingiwa na hofu.
Beki wa kulia wa timu ya soka ya Liverpool Trent Alexander-Arnold ameondolewa kwenye kikosi cha timu ya England baada ya kupata maumivu ya mgongo ambapo kwa mujibu wa taarifa ya England ni kuwa alifika kambini akiwa na maumivu hayo lakini juhudi za kumtibu kwa haraka ziligonga mwamba.. Arnold ambaye aliitwa...