Mechi 20, Magoli 20 hakuna kama Samatta Ulaya yote.
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta usiku wa kuamkia leo alifunga magoli mawili ya harakaharaka dakika za mwisho na kuirudisha timu yake ya KRC Genk kileleni mwa msimamo wa ligi kuu Ubelgiji baada ya kuichapa Royal Antwerp mabao 4-2. Genk walipata ushindi huo wakiwa ugenini na sasa wapo mbele kwa alama...