Tuna wachezaji wengi hata sisi pia, huyu (Bumbuli) amesema maneno mengi, hata sisi tuna wacheza kutoka Ivory Coast, Cameroon na wengine wanatoka hapahapa Tanzania pia.
Licha ya uwepo wa wasanii wakubwa nchini kama Harmonise, G nako, Juma Nature na Msaga Sumu lakini burudani itabaki palepale katika mpira wa miguu ambao mashabiki wa Yanga.