
Wakazi wa mji wa Shinyanga pale Ngokolo wamempa heshima ya kipekee mshambuliaji wa Lipuli Fc, Paul Nonga, kwa kuupa mtaa jina lake.
Nonga ameimbia Kandanda.co.tz kuwa heshima hii aliyopewa ya mtaa wake alipozaliwa kupewa jina lake ni heshima kubwa kwake na anadeni kubwa sana la kulipa. Alizingumza nasi wakati akiwa safarini kuelekea Musoma kwaajili ya mchezo wa Ligi kuu dhidi ya Biashara United.
Sasa kibao kimoja cha mtaa huo kineandikwa Nonga Street.
Nonga amewahi kuzichezea kwa mafanikio klabu za Mwadui, Mbeya City na Yanga Sc kabla ya kujiunga na klabu ya Lipuli FC ambayo ipo nafasi za juu ligi kuu pamoja na kuingia nusu fainali ya kombe la shirikisho Tanzania
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,