
Kiraka wa klabu ya Kagera Sugar Nasoro Kapama anatajwa kumalizana na “Wekundu wa Msimbazi” Simba hata kabla ya msimu kumalizika.
Mchezaji huyo wa zamani wa Ndanda Fc kwa sasa anaitumikia Kagera Sugar huku mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni, mkataba wake unaisha baada ya msimu huu kumalizika.

Nasoro Kapama mwenye uwezo wa kucheza kama mshambuliaji namba 10, kiungo wa ulinzi na mlinzi wa kati inasemekana ni miongoni mwa mapendekezo ya kocha Selemani Matola.
Kutokana na akili kubwa ya mpira aliyokuwa nayo ndio sababu kubwa inayomfanya aweze kucheza maeneo tofauti uwanjani na ndicho kilichoivutia zaidi Simba.
Unaweza soma hizi pia..
Yanga yataja siku ya kumtambulisha Aziz Ki!
Senzo Mazingisa pia alikanusha uvumi wa Fiston Mayele kusajiliwa na Kaizer Chiefs na kusema kuna wanahabari wanataka kuwachanganya.
Tamu na chungu za dakika ya mwisho!
Ligi kwa ujumla ilikuwa ngumu na yeye kusisimua licha ya bingwa kupatikana mapema lakini kiwango cha ushindani kilikuwa kikubwa hadi dakika ya mwisho.
Hizi hapa mechi kali zakumalizia Ligi!
Binafsi hii ndiyo michezo mikubwa miwili ninayoiangalia kwa jicho la uoga kwa kuwa ina maamuzi na hatma ya timu. Fiston Mayele na George Mpole!?
Huyu ndiye mchezaji wangu wa msimu
Tuandikie jina lake na kwanini unadhani anastahili kuwa mchezaji bora wa msimu.