archiveNasoro Kapama

Ligi Kuu

Kapama: Tupo tayari

Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho katika Dimba la Jamuhuri Morogoro kuelekea mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa katika Dimba la Manungu.
Tetesi

Kapama kutua Simba!

Kutokana na akili kubwa ya mpira aliyokuwa nayo ndio  sababu kubwa inayomfanya aweze kucheza maeneo tofauti uwanjani na ndicho kilichoivutia zaidi Simba.