
Namungo FC vs Coastal Union FC
Namungo FC
Bigirimana Blaise | 64' |
1 |
Coastal Union FC
Baada
Bigirimana Blaise kutoka klabu ya Namungo FC ndiye anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli la kwanza katika mechi ya kwanza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom. Bao hilo lilifungwa katika dakika ya 64 dhidi ya Coastal Union FC.
Uwanja
Uwanja wa Majaliwa |
---|
Taarifa
Tarehe | Muda | Ligi | Msimu | Mwisho |
---|---|---|---|---|
06/09/2020 | 2:00 pm | TPL | 2020-2021 | 90' |