Unaweza soma hizi pia..
Hiki Hapa Kikosi cha Taifa Stars, Nyota wa Nje Watawala.
Msemaji wa TFF Cliford Marion Ndimbo tayari ametaja viingilio vya mchezo huo utakaopigwa katika dimba la Benjamin Mkapa majira ya jioni siku ya Jumapili.
Beki Simba kuukosa mchezo wa kesho.
Mlinzi huyo wa kati alikuwepo wakati Simba inafuzu robo fainali mbele ya AS Vita katika msimu wa mwaka 2019 kabla yakutolewa na TP Mazembe robo fainali.
Wapinzani wa Simba kutua nchini Jumatatu.
Simba wanakwenda kutupa karata yao ya nne katika kundi lao ambapo msimamo wa kundi unaonyesha bado wana nafasi wakiwa na alama zao tatu huku wapinzani wao Vipers wakiwa na alama moja pekee.
Mambo sita yaliyoinyima alama Stars Kwa Mkapa!
blind passes) zilikuwa nyingi na madhara yake ikawa ni kupoteza umiliki wa mpira (possession) bila sababu ya msingi