
Unaweza soma hizi pia..
Tanzania kufuzu Afcon ni kama filamu kwetu!
Niacheni nionekane muoga tu lakini akili yangu inampitisha moja kwa moja Algeria kuchukua nafasi moja wapo kati ya hizo mbili.
Amunike kweli alikutana na wababe
Nigeria imetolewa katika hatua ya nusu fainali na timu ile ile iliyomfanya kibarua kiote nyasi.
Simon Msuva aingia katika rekodi kuu baada ya miaka 39
Simon Msuva, Sai kama wanavyomuita uwanjani ameingia katika rekodi muhimu katika mchezo unaoendelea muda huu.
Kenya imewahi kula Tano bila.
Katika mechi 44 Tanzania ilizokutana na Kenya, Tanzania imeshinda mechi 14, sare 14 na kupoteza 20.