
- AFCON 2027: Tanzania Inajiandaa – Kandanda.co.tz Yaleta Maeneo Muhimu ya Mashindano!
- Pamoja AFCON 2027
- Safari ya Yanga, Mikononi mwa Dube
- Simba na Yanga nani anaongoza kuweka mpira kwapani.
- Yanga Waweweseka! Gamondi Nje!
Anaitwa Adi Yussuf, Mtanzania anayecheza katika klabu ya Solihull nchini Uingereza. Adi amekuwa na msimu mzuri mpaka sasa akiwa amefunga mabao 14 katika mechi 42.
Katika kurasa zake za mitandao ya kijamii amekuwa akitumia hashtagg #NoGoalsNoSleep akimaanisha asipofunga goli halali.
Adi amewahi kuitwa katika kikosu cha Timu ya Taifa, Tanzania hapo kabla. Je ana nafasi katika ndege inayoenda Misri? Tusubirie maamuzi ya benchi la ufundi.
#NaniAtavaaJeziYaBlue?