
Aishi Manula na David Mwantika kuukosa mchezo wa leo dhidi ya Kenya kutokana na taarifa za majeruhi ambayo Daktari wa timu ataelezea hapo baadae.
Tanzania, Taifa Stars, inacheza mchezo wake wa kwanza leo kutafuta nafasi ya kucheza CHAN, michuano ya wachezaji wanao cheza Ligi za ndani ya nchi. Mchezo uliopita kati ya Kenya na Tanzania ulikuwa katika michuano ya AFCON 2019 huko Misri, ambapo Stars ilifungwa 3-2.
Je ni wakati wa Metacha kukaa golini, au sasa Juma Kaseja anaanza baada ya kitabmbo sana kukosekana katika kikosi hiki? Endelea kufuatilia.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,