





Shirikisho la Soka nichi Tanzania, TFF, limezindua Jezi ya Taifa Stars ambayo itatumika na timu zote za Tanzania. Jezi hizo zina rangi ya Blue ambayo itatumika kwa mechi za Nyumbani na zenye rangi ya Njano kutumika ugenini.
Jezi hizo zitaanza kupatikana leo katika maduka ya michezo.
Akizindua jezi hizo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh Paul Makonda, ambaye ni mwenyekiti wa kamati wa Uhamasishaji wa Taifa stars, amewasihi wananchi wote kununua jezi hii sahihi ili kuipa hamasa timu yataifa,
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,