Mabingwa Ulaya

Liverpool ni vinara wa bara la Ulaya na Uingereza

Sambaza....

Mabao mawili kutoka kwa Mo Salah na Orig, yameipa kombe la sita la Ligi ya Mabingwa Ulaya katika jiji la Madrid.

Mo Salah akishangilia

Liverpool ilikuwa ikipambana na Tottenham Hotspur zote kutoka nchini Uingereza.

Uchambuzi zaidi utafuata…

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x