
Mabao mawili kutoka kwa Mo Salah na Orig, yameipa kombe la sita la Ligi ya Mabingwa Ulaya katika jiji la Madrid.

Liverpool ilikuwa ikipambana na Tottenham Hotspur zote kutoka nchini Uingereza.
Uchambuzi zaidi utafuata…
Unaweza soma hizi pia..
Tottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!
Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Mzimu wa Bernabeu unavyowatafuna wapinzani wa Madrid!
Hapa ndiyo machinjioni Santiago Bernabeu Yeste hatoki mtu, uwanja pekee unakupa uhakika wa goli hivyo ni juhudi zako tu kulipachika.
Asikuambie mtu vita hivi vina raha yake.
Na matumaini macho yetu hayata boreka kwa mchezo huu. Itakua ni "Classic Game".
Barcelona na zimwi likujualo halikuli likakwisha
Nadhani kuna haja ya kuachana na dhana ya kutumia wachezaji waliopita katika club wakati wa Career zao wakiwa wachezaji kabla ya kuturn kwenye Coaching.