Simba SC vs Mwadui FC

Sambaza....

Mwadui fc wapo katika hatihati ya kushuka daraja huku wakitoka kupoteza mchezo dhidi ya Yanga wanakwenda kukutana na Simba inayotafuta alama 13 tu ili kutangazwa mabingwa. Mwadui f ndio timu ya kwanza msimu huu kuifunga Simba walipolitana katika mchezo wa raundi ya kwanza.

3 - 0
Mwisho

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
20/06/2020 4:00 pm TPL 2019-2020 90'

Sambaza....