
Simba SC vs Mwadui FC
Mwadui fc wapo katika hatihati ya kushuka daraja huku wakitoka kupoteza mchezo dhidi ya Yanga wanakwenda kukutana na Simba inayotafuta alama 13 tu ili kutangazwa mabingwa. Mwadui f ndio timu ya kwanza msimu huu kuifunga Simba walipolitana katika mchezo wa raundi ya kwanza.
Simba SC
Mwadui FC
Baada
Mechi 5 za mwisho za Simba

Uwanja
National Stadium |
---|
Taarifa
Tarehe | Muda | Ligi | Msimu | Mwisho |
---|---|---|---|---|
20/06/2020 | 4:00 pm | TPL | 2019-2020 | 90' |