Sambaza....

Mwadui fc wapo katika hatihati ya kushuka daraja huku wakitoka kupoteza mchezo dhidi ya Yanga wanakwenda kukutana na Simba inayotafuta alama 13 tu ili kutangazwa mabingwa. Mwadui f ndio timu ya kwanza msimu huu kuifunga Simba walipolitana katika mchezo wa raundi ya kwanza.

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
20/06/2020 4:00 pm TPL 2019-2020 90'

Sambaza....