Huku ikiwakosa washambuliaji wake muhimu, Simba inaingia mchezoni kutaka kuendeleza ubabe dhidi ya Stand utd ili kuendelea kujiimarisha kileleni mwa ligi. Huku tumaini lao likiwa kwa Nicholas Gyan na Laudit mavugo kwenye ushambuliaji
Uwanja
Dar es Salaam |
---|
Taarifa
Tarehe | Muda | Ligi | Msimu | Mwisho |
---|---|---|---|---|
02/03/2018 | 4:00 pm | TPL | 2017-2018 | 90' |
Waamuzi
- Mwamuzi Msaidizi 1
- Ferdinand Chacha
- Mwamuzi Msaidizi 2
- Mashaka Mwandemba
- Kamishina
- Peter Temu
- Mwamuzi wa Kati
- Florentina Zabron