Young Africans SC vs Majimaji FC

Sambaza....

Mabingwa watetezi, Yanga, wanarudi uwanjani tena katika majukumu ya ligi kuu Tanzania bara, baada ya ushindi wa bao 1-0 katika klabu bingwa afrika. Ushindi kwao katika mechi hii ni muhimu ili kupunguza tofauti ya pointi kati yake na mtani.

Baada


Uwanja

Dar es Salaam

Taarifa

Tarehe Muda Ligi Msimu Mwisho
14/02/2018 4:00 pm TPL 2017-2018 90'

Sambaza....