Tovuti yetu ina zaidi ya makala/uchambuzi na habari 1,000 za kuvutia, bila kusahau Msimamo, Wafungaji bora, Matokeo na Ratiba, tukielekea katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika tovuti itatoa jezi za timu ya Taifa Tanzania, kwa Wanakandanda watakaokuwa wamesoma makala zetu na kutoa maoni mara nyingi katika makala au habari ndani ya tovuti wakitumia hashtagg #NimeisomaHii.
Nini ufanye?
Fungua habari au makala yoyote kupitia www.kandanda.co.tz, isome makala,habari au ratiba/matokeo.
Andika maoni yako ukitumia akaunti yako ya Facebook malizia na neno #NimeisomaHii (Mfano katika picha juu)
Nitashinda kivipi?
Toa maoni zaidi ukitumia #NimeisomaHii na sambaza kwa marafiki kwa kuyatuma maoni hayo Facebook pia.
Muda:
Kuanzia tarehe 16/06/2019 hadi tarehe 23/06/2019
*vigezo na masharti kuzingatiwa
Anza sasa: Hizi chini ni za hivi karibuni.
- AZIZ KI vs KIBU DENIS
- Madrid 3, City 3. Ya Kibabe
- Fact na Dhana Tofauti Mpira wa Aziz Ki
- 10/10 Wachezaji wa Yanga vs Mamelod
- Yanga Baba Lao Afrika, Simba Mmmh!
- Simba Yawataja Itakaowapiga Chini Dirisha Dogo
- Yanga Ilivyosepa na Kijiji Msimbazi.
- Aishi Manula Amerudi na Fei Toto!
- Simba Inavyowakosea Wachezaji Wao
- Muargentina: Afrika Kesho Itapata Burudani Kubwa