
Hakuna ubishi klabu ya Simba ipo katika kilele cha mafanikio na hakuna wa kuizuia kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu. Mwaka jana wakati Simba ikichukua ubingwa ikiwa imcheza mechi 30 kushinda mechi 20, sare 9 na kupoteza mechi moja na ilipata alama 69.
Hadi sasa Simba imeshacheza mechi 30 na tayari imekusanya alama 78, ikiwa ni tofauti ya alama 9 walizochukua ubingwa msimu uliopita.
Msimamo msimu 2016/17
# | Timu | P | W | D | L | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Simba SC | 30 | 20 | 9 | 1 | 47 | 69 |
2 | Azam FC | 30 | 16 | 10 | 4 | 19 | 58 |
3 | Yanga SC | 30 | 14 | 10 | 6 | 21 | 52 |
4 | Tanzania Prisons | 30 | 12 | 12 | 6 | 5 | 48 |
Ingawa idadi ya timu zimeongezeka lakini bado Simba ipo vizuri na imara zaidi.
Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,