Ligi Kuu

11 Bora wetu hawa hapa

Sambaza....

Msimu wa Ligi Kuu uliohusisha timu ishirini (20) kwa mara ya kwanza ulimalizika kwa Simba Sc kutawazwa mabingwa huku Meddie Kagere akichukua kiatu cha ufungaji mabao ishirini na tatu (23).

Timu ya Wachambuzi na Waandishi wa Kandanda imeandaa kikosi bora cha Kandanda.co.tz kwa msimu wa Ligi Kuu 2018/19. Unaweza kutupa maoni yako au kukipigia kula hapo chini.


Mfumo wa 4-4-2

[poll id=”16″]


 

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x