
Kuna maneno mengi sana ambayo yanazungumzwa mtaani kuhusu kocha wa Simba na hatima yake ndani ya klabu ya Simba. Mengi yanasemwa kuwa mechi ya Jana ndiyo ilikuwa mechi yake ya mwisho akiwa na Simba.
Baada ya ushindi wa jana wa magoli matatu kwa bila (3-0) dhidi ya Ruvu Shooting kocha huyo kupitia ukurasa wake wa instagram amewapongeza wachezaji wake kwa kucheza kwa weledi na kufanikiwa kupata ushindi wa magoli 3-0 bila kujalisha maneno ya uongo yanayoongewa nje.
Kwa mantiki hii kinachoonekana ndani ya Simba ambacho kinasikika sana nje ni cha uongo kwa mujibu wa kocha huyo mkuu, na hakuna ukweli wowote wa kile kinachoongolewa kuwa mechi ya Jana ndiyo ilikuwa mechi yake ya mwisho akiwa na timu ya Simba.
Unaweza soma hizi pia..
Alli Kamwe: Lengo Yanga na sio Mayele!
Mayele ni mchezaji muhimu kwenye Timu. Yanga inamuhitaji zaidi akiwa Fiti uwanjani kuliko yeye anavyokihitaji kiatu cha Ufungaji bora kabatini kwake.
Msemaji Simba: Mambo ni magumu!
Kila mwanasimba anatakiwa kufahamu hilo na kukubali mambo ni magumu.
Kola na mfupa uliomshinda Mayele!
Licha ya Fiston Mayele kusifiwa na kuoneoana ni moja ya washambuliaji hatari katika Ligi lakini hakufanikiwa kufunga
George Mpole anaishi ndoto zetu!
juhudi binafsi za George Mpole na ndio maana utofauti wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 1 kwao lakini yeye pekeake Mpole ana mabao 13.