Mabingwa Afrika

Esperance mabingwa tena.

Sambaza....

Wababe wa Tunisia, Esperance, wametangazwa kwa mara nyingine tena kama mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika na Mahakama ya ya Usuruhishi ya Michezo (CAS).

Ikimbukwe mchezo wa awali wa fainali dhidi ya Waydad Casablanca ulimalizika kwa mabao 1-1 na mchezo wa pili ulivunjika baada ya utataa wa VAR (Video ya Usadizi kwa Mwaamuzi). 

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x