Zana na Wawa
Mabingwa Afrika

Hawa hapa wanaokwenda Lubumbashi kupindua meza!

Sambaza....

Klabu ya Simba leo imetaja jumla ya wachezaji 18 watakaokwenda Lubumbashi kwenye mchezo wa marudiano dhidi ya TP Mazembe katika Ligi ya Mabingwa Africa.

Walinda mlango: Aishi Manula, Deo Dida

Walinzi: Zana Coulibaly, Asante Kwasi, Mohamed Hussein, Erasto Nyoni, Paul Bukaba na Juuko Mursheed.

Viungo: Haruna Niyonzima, Mdhamiru Yasin, Said Ndemla, Jonas Mkude, James Kotei, Hassan Dilunga na Cleotus Chama.

Washambuliaji: Emmanuel Okwi, Meddie Kagere, Rashid Juma na John Raphael Bocco.

Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x