Mabingwa Afrika

Hiki hapa kikosi kamili cha AS Vita kitakachowakabili Simba.

Sambaza....

As Vita tayari ipo nchini ilikiwa na kikosi chake kamili ili kuwavaa wenyeji wao Simba Sports Club “Wekundu wa Msimbazi” ili angalau kutafuta nafasi ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Kikosi kamili cha wachezaji 20 wa AS Vita waliotua Dar ili kutafuta nafasi ya robo fainali hiki hapa.


Sambaza....
Subscribe
Notify of

0 Maoni
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x